top of page
Search

Tips za kupika chapati za kusukuma laini

  • Writer: Rukhsana Noor
    Rukhsana Noor
  • Mar 24, 2020
  • 1 min read

Updated: Mar 27, 2020

Kwanini upike chapati za kusukuma ngumu, Hizi hapa ni tips za kufuata.....


  1. Hakikisha unakanda unga unalainika

  2. Wakati wa kukanda hakikisha unakadiria maji saa na unga usiutepeteshe unga kisha ukaongeza unga mbichi juu kuufanya ushikane ili uendelee kukanda kufanya hivi kutafanya unga kuwa mgumu

  3. Ukisha kanda unga kuwa unaufunika kwa saa moja kabla ya kukunja chapati

  4. Ukisha kunja chapati hakikisha muda wote umezifunka wakati unapika , zingine usiziache wazi zinazosubiria kupikwa

  5. Wakati wa kupika usipike na kikaango kikavu kipate mafuta kidogo kila mara unapotaka kuweka chapatti

  6. Tumia moto wa kati kupikia chapati usiwe mkali wala mdogo sana

  7. Unapoweka chapati katika kikaango baada ya kupata rangi upande mmoja unapoigeuza ipate rangi upande wa pili iache uone inavimba ndio uweke mafuta

 
 
 

Recent Posts

See All

Commentaires


© 2020 by Roxy recipes. All rights reserved

  • ooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooroxyrecipes Instagram Account
bottom of page