WAFFLES
- Rukhsana Noor
- Mar 24, 2020
- 1 min read
Updated: Mar 29, 2020

MAHITAJI:
Unga wa ngano vikombe viwili
Mayai 2
Sukari 1/2 kikombe
Blue band nusu kikombe
Vannila kijiko kimoja
Banking powder vijiko vinne vidogo
maziwa ya maji nusu kikombe
JINSI YA KUPIKA:
1) Chukuwa bakuli pana weka maziwa,vanilla, sukari mayai na iyeyushe blue band uchanganye , vikisha changanyika chukuwa banking powder weka katika unga changanya kisha anza kuweka unga kidogo kidogo katika mchanganyiko wako mpaka upate mchanganyiko mzito kiasi hapo zitakua tayari kuchoma
2) Andaa chuma chako cha kuchomea waffles ,kisha chota na kijiko mchanganyiko wako weka katika chuma na uanze kupika waffles mpaka unga uishe
Comments